SIMBA WAFANYA USAJILI WA KUTIKISA MJI,WAWACHUKUA WAKALI WAWILI KWENYE TIMU YAO Omari Makoo 9:10 AM michezo Edit Mwenyekiti wa Simba SC, Aden Rage (katikati) akiwa na wachezaji wapya Badru Ally (kulia) na Awadh Juma (kushoto) baada ya kusaini kuichezea Simba leo. Klabu ya Simba SC leo imewasajili wachezaji wawili ambao ni Awadh Issa kutoka Mtibwa Sugar na Ally Badru kutoka Canal Suez ya Ligi Kuu ya Misri! Share on Facebook Share on Twitter Share on Google Plus About Omari Makoo RELATED POSTS MAN U YAZINDUKA USINGIZINI KWENYE E...QUEENS ZANZIBAR YAFUNGWA BAO 10 CEC...HILI NDIO BAO LA MBWANA SAMATTA DHI...
0 comments :
Post a Comment