Kuondoa ukiritimba wa chama kimoja ili kujenga mfumo imara wa vyama
vingi imekuwa ndoto yangu kwa miaka 20 sasa ( ending single party
dominance). Matokeo ya uchaguzi mdogo wa madiwani uliofanyika Jana
yanaumiza, yanavunja moyo na kuchukiza sana. Ni dhahiri kuna haja kubwa
kukonga nyoyo za wananchi kwa sera na majawabu ya matatizo yao badala ya
mitindo ( content over style).
Unapojali mitindo badala ya sera utaishia kutafuta sababu za kushindwa badala ya kuweka mikakati ya kushinda.
Nalaani kwa nguvu zote matukio ya fujo na umwagaji damu katika chaguzi zilizopita. Siasa za sera hazina fujo wala vurugu. Siasa za sera ndio siasa zinazojali wananchi. Twende huko....
Unapojali mitindo badala ya sera utaishia kutafuta sababu za kushindwa badala ya kuweka mikakati ya kushinda.
Nalaani kwa nguvu zote matukio ya fujo na umwagaji damu katika chaguzi zilizopita. Siasa za sera hazina fujo wala vurugu. Siasa za sera ndio siasa zinazojali wananchi. Twende huko....
Wana
Chama na wapenzi wa chadema ,Iringa MJINI , niwapongeze kwa kazi nzuri
na ngumu ya kufanya kampeni nduli, tumefanya kazi kubwa sana , kwa
kiwango kikubwa tumejenga Chama na mtandao wetu umeongezeka. Hatupaswi
kukataa tamaa , this is not the end of the word maisha
yanaendelea,...wote kwa pamoja tunajua nguvu ya pesa ilivyotumika na
BAADHI ya matajiri wenye masilahi BINAFSI na nduli.mimi najihesabia kuwa
sisi ni washindi. Dhamira zao na nafsi zao zinawasuta kwa Yale maovu
waliyoyafanya. Tuendele kujenga Chama chetu.
Kazi imekwisha Hongereni Watanzania hamjadanganyika na chopa zao wala sera zao Mbovu....Bado Mna Imani na Chama chenu CCM
Poleni watani Tukutane rasmi 2015 Huu ni mwanzo ... tuu ni rasha rasha tuu
Poleni watani Tukutane rasmi 2015 Huu ni mwanzo ... tuu ni rasha rasha tuu

0 comments :
Post a Comment