Katika ratiba hiyo Real Madrid itacheza na Atletico Madrid huku Barcelona wao wakiwa na kibarua kigumu dhidi ya Paris Saint-Germain ama ‘PSG‘ ambayo iliwawekea ngumu na kuwaondoa Chelsea kwenye michuano hiyo.
Hapa unaweza cheki mpangilio huo mtu wangu.
PSG Vs Barcelona
Atletico Madrid Vs Real Madrid
FC Porto Vs Bayern Munich
Juventus Vs AS Monaco
0 comments :
Post a Comment