Miongoni mwa waliopoteza maisha ni watoto 14 na wanawake 13. Ajali hiyo imetokea leo katika mji wa Sukkur, umbali wa kilomita 425 kutoka Karachi.
Dereva wa basi amefariki papo hapo wakati wa trekta akijeruhiwa. Waliopoteza maisha wote walikuwa katika basi.
0 comments :
Post a Comment