Watu wengi
hupuuza kula tunda hili kwasababu ya kutokuwa na sukari yoyote ktk tunda
hili.Lakini tunashindwa kutambua kuwa tango linafaida nyingi saana
mwili.1.Hupunguza maumivu ya kichwa.
2.Huondoa maumivu ya viungo vya mwili.
3.Hupambana na ugonjwa wa cancer
4.Husafisha figo
5.Hupunguza uzito
6.Huweka sawa mfumo wa damu
7.Hukupatia afya nzuri ya nywele na ngozi.
Jitahidi kula sana matango kwani unaweza pia kwa kukatakata kwenye kachumbali pia.
KWA USHAURI NA SULUHISHO LA TATIZO LOLOTE LA AFYA NI BURE PIGA 0715448643
Blogger Comment
Facebook Comment