
Pamoja na hayo tu kumekuwepo na mjadala kama ni sahihi kwa United kukataa ofa ya 10m + Mata? Kama ni kweli Chelsea walituma ofa hiyo.
Lakini ebu tujaribu kutazama kitakwimu kwa msimu uliopita ni nani zaidi baina ya wachezaji hawa wawili.
HABARI KWA IHSANI YA SHAFFIH DAUDA
0 comments :
Post a Comment