Radio Imaan ambayo ilfungiwa kwa muda wa miezi sita tangu mwezi wa pili tarehe 26 ya mwaka huu wa 2013 hivyo leo ikwa ni tarehe 23 inamaana zimebaki siku 3 ili ifike tarehe 26 na kutimiza miezi 6 ya kifungo chake.Hivyo Radio Imaan itakuwa hewani tarehe 28 kama hakutokuwa na vikwazo vingine dhidi yao.Hivyo kwa wale wadau wa Radio Imaan kaeni mkao wa kulaRADIO IMAAN KUREJEA HEWANI TAREHE 28 MWEZI HUU
Radio Imaan ambayo ilfungiwa kwa muda wa miezi sita tangu mwezi wa pili tarehe 26 ya mwaka huu wa 2013 hivyo leo ikwa ni tarehe 23 inamaana zimebaki siku 3 ili ifike tarehe 26 na kutimiza miezi 6 ya kifungo chake.Hivyo Radio Imaan itakuwa hewani tarehe 28 kama hakutokuwa na vikwazo vingine dhidi yao.Hivyo kwa wale wadau wa Radio Imaan kaeni mkao wa kula
0 comments :
Post a Comment