Inaelezwa kuwa aliyeuawa alikuwa na tabia za wizi na mara kwa mara alikuwa anapigwa kwa tabia zake na leo zimetimia za mwizi 40
 |
Wakazi wa Shinyanga wakiangalia mwili wa marehemu
|
 |
Askari wa jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga akishirikiana na msamaria mwema kusitiri mwili wa marehemu |
 |
Mwili wa marehemu baada ya kusitiriwa-Picha na |
 |
Gari la polisi likiwasili eneo la tukio kuchukua mwili wa marehemu |
 |
Mamia ya wakazi wa Shinyanga wakiwa eneo la tukio |
 |
Askari wa jeshi la polisi wakichukua mwili wa marehemu |
 |
Askari polisi wakiondoka eneo la tukio |
 |
Wakazi wa Shinyanga mjini wakiondoka eneo la tukio |
SOURCE:
PAPARAZIHURU
0 comments :
Post a Comment