
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete jana alikutana na Mwenyekiti wa Chama Cha
Wananchi (CUF) Profesa Ibrahim Lipumba na kufanya naye mazungumzo ikulu
jijini Dar es Salaam.

Mazungumzo
hayo yalihusu masuala mbalimbali ya siasa na uchumi nchini.Pichani Rais
Kikwete akiwa na Professa Lipumba katika mazungumzo yao yaliyofanyika
Ikulu jijini Dar es Salaam jana.

Rais Kikwete, akiagana na Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF) Taifa, Profesa Ibrahim Lipumba baada ya mazungumzo yao jana. Picha na Fredy Maro
0 comments :
Post a Comment