
Wakali wa mabao: Kutoka kushoto Wallace, Demba Ba na Ramires (wakishangilia ushindi wa Chelsea leo

Nahodha John Terry akishangilia na Gary Cahill

Mashabiki Indonesia wakiishangilia Chelsea

Jose Mourinho akilalama

Nahodha wa Chelsea, John Terry (kulia) akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kufunga

Eden Hazard akifunga kwa penalti

Ramires akifunga
Mabao ya Chelsea yalifungwa na Hazard
kwa penalti dakika ya 21, Ramires dakika ya 29 na 56, Ba dakika ya 32,
Terry dakika ya 45, Traore dakika ya 50 na Lukaku dakika ya 52 na 65.
Bao la kufutia machozi la Indonesia All-Stars limefungwa na Kalas aliyejifunga dakika ya 67.

0 comments :
Post a Comment