-->

WALIMU KUPATA SHEMEJI MPYA UCHAGUZI 2015

Mke wa Magufuli, Janet, ni Mwalimu wa Shule ya Msingii Mbuyuni, shule aliyokuwa akifundisha Salma, mke wa Rais Jakaya Kikwete. Wasifu wa Magufuli unaonyesha kwamba alipata cheti cha Stashahada ya Ualimu katika Chuo cha Elimu Mkwawa mnamo mwaka 1982 – alikojikita zaidi katika masomo ya hisabati na kemia.
Kati ya mwaka 1985 hadi 1988, Magufuli alijiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa ajili ya masomo yake ya shahada ya kwanza ya ualimu wa kemia na hisabati. Waziri huyo wa Ujenzi alijipatia shahada yake ya uzamili kwenye kemia kupitia Vyuo Vikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Salford cha Uingereza kati ya mwaka 1991 na 1994
Wadau mbali mbali wa siasa wametania  kuhusu ujio wa first lady mpya ambaye naye ni mwalimu
Share on Google Plus

About Omari Makoo

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment