
Akielezea nia yake ya kujiunga na CHADEMA ni kuona chama hiko kina mienendo mizuri na hakijihusishi na rushwa kama ilivyokuwa katika chama cha CCM. Huku akieleza kuwa katika Bunge la katiba yeye ndio alikua mbunge wa kwanza wa CCM kupiga kura ya wazi huku akiunga mkono katiba pendekezo ya Jaji Warioba.
0 comments :
Post a Comment