
Je ni tukio gani hilo kubwa litakaloimarisha siasa za upinzani???
Ni Lowasa kujiunga ACT WAZALENDO au ndio tarehe ya kuanza kupokea wabunge wote wakigoma kujiunga ACT WAZALENDO ??maana Zitto alishasema hakuna atakae pata ubunge kigoma pasina kujiunga na ACT WAZALENDO
WEWE UNAHISI NI TUKIO GANI HILO KUBWA???
0 comments :
Post a Comment