WEZI WAFUKUA MAITI NA KUMUIBIA NGUO ALIZOVISHWA Omari Makoo 5:25 AM matukio Edit Watu wasiojulikana wamefukua mwili wa marehemu Agnes Gao aliyekuwa akiishi eneo la zizini wilayani Handeni kisha kuiba mavazi yake ya mwisho aliyovishwa tukio hilo la kusikitisha limekuja siku mbili tu baada ya mwili wa marehemu kuzikwa.CHANZO ITV. Share on Facebook Share on Twitter Share on Google Plus About Omari Makoo RELATED POSTS WAKAZI WA ARUSHA ARUMERU WAANZISHA ...JE UNGEKUWA WEWE UNGEFANYA NINI???AJALI ZA BARABARANI ZAITAWALA TANZ...
0 comments :
Post a Comment