
Wapo wanaoogopa kusafiri kwa ndege kabisa, lakini haimaanishi kwamba usafiri wa ndege ni hatari au sio salama kabisa, kwa wataalam wanasema ndege ndio usafiri salama namba moja Duniani.
Ripoti za 2015 zimetoka, Qatar Airways imetajwa kama Shirika la Usafiri wa anga ambao ni bora zaidi duniani, najua wako ambao hawajawahi kusafiri kwa ndege za Qatar.
Kama unatamani kuyaona mazuri mengine yaliyomo ndani ya ndege hizo unaweza kuona pichaz zake hapa jinsi kulivyo humo ndani.

Pembeni ya siti kuna hii sehemu ambayo unaweza kuweka vitu vyako vidogo vidogo, vinakuwa salama kabisa safari yote


Economy Class, sehemu ya kawaida na bado unaenjoy. Kila siti na TV yake.



Kwenye utakavyoenjoy First Class ni pamoja na hii sehemu ambayo unaweza kulala kabisa ukiwa kwenye safari ndefu.

Kwenye siti yako, wewe na TV yako kwa amani kabisa.

Ni kama hauko kwenye ndege yani.. Hapa vinywaji vyote vipo humohumo ndani ya ndege.




Hapa sio kama Cinema eti wote muangalie movie moja, kila TV na movie yake.


0 comments :
Post a Comment