-->

BREAKING NEWS:MOSES MACHARI AHAMIA ACT WAZALENDO


TAARIFA ISIYO RASMI: MBUNGE WA NCCR AHAMIA ACT
Kuna taarifa kwamba Mbunge wa Jimbo la Kasulu Mjini na Naibu Katibu Mkuu wa NCCR-MAGEUZI, Moses Machali, ametangaza rasmi kuhamia Chama cha ACT-WAZALENDO na kuachana na NCCR-MAGEUZI.
Machali amekuwa mmoja wa wabunge Machachari katika Bunge linalomaliza kipindi chake kwa tiketi ya NCCR na kabla hajawa mbunge aliwahi kuwa mwanachama wa CHADEMA
Share on Google Plus

About Omari Makoo

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment