![]() |
Shughuli ya uokoaji ikiendelea.
Watu Watatu wamekutwa na tukio la kufukiwa na kifusi maeneo ya machimbo
ya kifusi huko Bunju , watu hao walikuwa wakichimba kwa bahati mabaya
udongo ukamong'onyoka na kuwafukia, wananchi mbali mbali walijitokeza na
kusaidia zoezi la uokoaji kwa bahati mbaya wote walipatwa wakiwa
wameshafariki
|

0 comments :
Post a Comment