Daktari akiwa amezamisha kidole chake kwenye jeraha la Ndugu Richard wakati alipokuwa akimsafisha kidonda baada ya tukio hilo. Uchaguzi
Mdogo wa Jimbo la Kalenga, kwa taarifa zisizo rasmi zinasema wamchoma
kisu cha Mbavu Ndugu Richard ambaye ni M/Kiti wa Tawi la CHADEMA la
Kijiji cha Tagamenda
Ndugu Richard ambaye ni M/Kiti wa Tawi la CHADEMA la Kijiji cha Tagamenda akiwa amelazwa baada ya kushonwa
Ndugu Richard ambaye ni M/Kiti wa Tawi la CHADEMA la Kijiji cha Tagamenda Akionyesha jeraha lake maeneo ya kifuani.
0 comments :
Post a Comment