Hundi ikikabidhiwa
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimshukuru
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei, baada ya kukabidhiwa
hundi ya shilingi milioni 100 kutoka
benki hiyo kusaidia waathirika wa
mafuriko yaliyozikumba wilaya tatu za Kilosa, Mvomero na Gairo katika Mkoa wa
Morogoro, mwezi uliopita katika shughuli fupi iliyofanyika Ikulu, Dar Es Salaam
leo February 4, 2014 na kuhudhuriwa pia na Mhesimiwa William Lukuvi, Waziri wa
Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia pia masuala ya maafa pamoja na
maafisa wa CRDB
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete katika
picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji
wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei, baada ya kukabidhiwa hundi ya shilingi
milioni 100 kutoka benki hiyo kusaidia waathirika wa mafuriko yaliyozikumba wilaya tatu za
Kilosa, Mvomero na Gairo katika Mkoa wa Morogoro, mwezi uliopita katika
shughuli fupi iliyofanyika Ikulu, Dar Es Salaam leo February 4, 2014 na
kuhudhuriwa pia na Mhesimiwa William Lukuvi, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri
Mkuu anayeshughulikia pia masuala ya maafa pamoja na maafisa wa CRDB.
Waziri Mkuu Mizengo
Pinda akisalimiana na Inspekta Jenerali wa Polisi Ernest Mangu alipomtembelea ofisini kwake leo
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MKUU WA JESHI LA POLISI NCHINI IGP MANGU
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanania, Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na kumkaribisha Mkuu wa Jeshi la Polisi
nchini, IGP Ernest Mangu, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es
Salaam, leo Feb 4, 2014, kwa mazungumzo
0 comments :
Post a Comment