Mwanamke huyo ambaye kwa hivi sasa anaendelea na matibabu
katika Hospitali ya Wazazi ya Meta akiwa na watoto wake wote wanne alijifungua
majira ya saa 10 alfajiri usiku wa kuamkia Januari Mosi Mwaka huu katika
Hospitali ya Wilaya ya Mbozi na watoto wakiwa na uzito wa kawaida tofauti na
matarajio ya Wengi. SOMA ZAIDI MBEYA YETU BLOG
-
Blogger Comment
-
Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment