-->

MBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE MH SAIDI BWANAMDOBO AFARIKI DUNIA

Mbunge wa Chalinze, Said Ramadhani Bwanamdogo enzi za uhai wake.
 
Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mh.SAID BWANA MDOGO amefariki dunia mapema leo baada ya kuugua kwa muda mrefu.Tunawaombea mungu awape nguvu ndugu Jamaa na marafiki katika kipindi hiki kigumu kwao.
Share on Google Plus

About Omari Makoo

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment