-->

TIZAMA TASWIRA YA MCHEZO KATI YA AL AHLY NA YANGA AMBAO UMEAMULIWA NA PENATI



Al Ahly wanapata penati 4 - 3 Young Africans
Waliopata Yanga Didier, Canavaro, Okwi huku waliokosa ni Oscar, Bahanuzi na Twite.
Al Ahly wanafuzu hatua ya 16 bora
MIKWAJU YA PENATI

Al Ahly Wamepata penati 4 - Waarab wanapita 

YANGA Yanga wamepata penati 3  

Mpira umemalizika, Al Ahly 1 - 0 Young Africans
Aggrigate 1-1
Kinafuata penati

Dk 90 zimekamilika na refa anaongeza dakika 5 za nyongeza

Domayo alikuwa na nafasi nzuri ya kuisawazishia Yanga lakini anakosa - dk 89

Dk 85 Al Ahly 1 - 0 Yanga

Goli limewaamsha zaidi Al Ahly sasa wanalishambulia zaidi lango la Yanga ambao wapo nyuma wakilinda goli.  Dakika 78

Dakika ya 70, Al Ahly wanapata bao la kwanza

Dk 67 Al Ahly wanapata kona lakini Yanga wanaokoa

Chuji anaiingia kuchukua nafasi ya Ngasa,

Dk 54 Yanga wanakosa bao la wazi, Simon Msuva anakosa umakini katika lango la maadui

Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza, Al Ahly 0 - 0 Young Africans

Mpira ni mapumziko Yanga 0-0 Al Ahly

Ddk 40: Waarab wapo golini kwa Yana kwa muda mwingi, huku Yanga wakifanya mashambulizi ya kushtukiza, mpira bado bila bila

k 35 Cannavaro amepewa kadi ya njano, faulo inapigwa nje ya eneo la hatari la Yanga lakini golikipa Dida anadaka.CHANZO:SHAFFIH DAUDA
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment