-->

TAZAMA PICHA ZA DAKTARI FEKI ALIYEKAMATWA KATIKA HOSPITALI YA MUHIMBILI

Mtu mmoja amekamatwa na maofisa usalama wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kwa tuhuma za kuwatapeli watu mbalimbali wakiwamo wagonjwa kwa kujifanya ni daktari. 
Akizungumza na waandishi wa habari hospitalini hapo , Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa MNH, Aminieli Eligaesha alisema kukamatwa kwa mtu huyo kunafuatia mtego uliowekwa na uongozi wa hospitali baada ya kupata taarifa kutoka kwa wasamaria wema juu ya vitendo vyake.










Share on Google Plus

About Omari Makoo

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment