Naibu waziri wa maji Amos Makala
akirekebisha kipaza sauti cha kisasa muda mfupi kabla ya kuongea na
wafanyaka na wahudumu wa idara ya mamlaka ya maji Manispaa ya Morogoro
wakati wa ziara ya ukaguzi wa maendeleo ya sekta ya maji mkoa wa
Morogoro, alilazimika kutumia kipasa zauti baada ya eneo hilo kutokuwa
na huduma hiyo ili aweze kila mtu kumsikia ama kusikia kinachozungumzwa
na meza kuu. PICHA/MTANDA BLOG.
Hapa inaonekana kuna jambo limemchanganya na kuwaita wasaidizi wake wamsaidie.
Huyu ni Kaimu Mkurugenzi Mamlaka ya Maji Halima Mbiru akitoa taarifa mbalimbali za miradi ya maji Manispaa
Sehemu ya Wafanyakazi
Baada ya mambo kwenda sawa, Makala alianza kwa kuongea na wafanyakazi huku kipaza sauti kikifanya kazi yake.
Makala akizungumza jambo katika mkutano
huo kutoka kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mamlaka ya Maji Halima Mbiru na
kulia ni Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Maji, Esther Lauwo.
PICHA/MTANDA BLOG.
0 comments :
Post a Comment