-->

SAMUEL ETO'O AENDELEA KUTAMBA AKIWA NA EVERTON


Mshambulia ji wa klabu ya Everton Samuel Eto'o juzi alionyesha kuwa bado yuko vizuri baada ya kupachika mabao mawili na kuipa timu yake ya Everton ushindi dhidi ya Burnley.
Burnley walikubali kichapo cha mabao 3-1 wakiwa katika uwanja wao wa nyumani, Samuel Eto'o alianza kufungua mlango wa Burnley dakika ya 4 tu ya mchezo kabla ya Danny Ings wa Burnley kusawazisha dakika ya 20 .Romelu Lukaku akaandi bao 2 katika dakika ya 29 ya mchezo na kwenda mapumziko wakiwa wako mbele kwa mabao 2-1.
Kipindi cha pili kiliaanza huku Everton wakionekana kuwa vizuri sana sehemu zote, Samuel Eto'o kwa mara nyingine dakika ya 86 akapachika bao la 3 kwa Everton.
Share on Google Plus

About Omari Makoo

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment