
Mchezo huo unatarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua kwa sababu utakutanisha wachezaji bora ulimwenguni kama kwa upande wa Real Madrid, Christiano Ronaldo,James Rodriguez,Toni Kros,Karim Benzema na wengineo na kwa upande wa timu ya Barcelona kuna wakali kama Lionel Messi,Neymar,Iniesta na mchezaji Louis Suarez ambaye alikuwa anasubiriwa kwa hamu sana na mashabiki wake baada ya kuwa anatumikia adhabu yake aliyokuwa kafungia.Suarez ataonekana kwa mara ya kwanza kesho katika mchezo huo wa La liga.
Real Madrid kesho itaingia uwanjani huku wakimkosa mshambuliaji wao mwenye kasi sana Gareth Bale baada ya kuwa na majeraha ya nyama za paja.
0 comments :
Post a Comment