-->

RAISI JAKAYA MRISHO KIKWETE APIGA PICHA NA MABLOGGERS MKOANI MBEYA,HUKU KINANA AKIWA MPIGA PICHA

 Mwenyekiti wa wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata picha ya pamoja na ma-bloggers wakubwa wa Tanzania wakati wa kiadhimisha sherehe za miaka 37 za uhai wa CCM uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. Picha hii imepigwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahmana Kinana hapo chini...
Ndugu Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM akichukua taswira.
Share on Google Plus

About Omari Makoo

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment