-->

M/KITI WA THE ISLAMIC FOUNDATION PAMOJA JOPO LA VIONGOZI WAKIISLAM WAWATEMBELEA WAHANGA WA MAFURIKO


Viongozi wa The Islamic Foundation walipokuwa wakitembelea maafa, Jana kupitia Radio Imaan Mwenyekiti wa kamati a maafa Al akh Ahmed Bawazir ametoa report ya michango na kusimamisha rasmi kuchangia maafa ya kilosa.Katika picha katikati ni Mwenyekiti wa The Islamic Foundation Al akh Aref Nahdi, Kulia kwake Al aakh Ahmed Bawazir Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Mwenyekiti wa kamati ya Maafa ya TIF na kushoto kwa Mwenyekiti Shaikh Ibrahim Twaha Ibrahim Al Massy ni Katibu Mkuu wa TIF na Makamu Mwenyekiti wa kamati ya Maafa.
Kwa niaba ya TIF tunatoa shukurani zetu za dhati kwa wale wote waliochangia kwa mali na hali na kutuunga mkono kwa jambo hili adhim.
Insha Allah report ya michango itawekwa hapa kwenye Facebook.
Na vilevile TV IMAAN ina andaa makala ya tukio hilo, Allahu Alam.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment