
Habari zilizotufikia hivi punde kutoka kwenye vyanzo mbali mbali kama vile clouds fm ni kwamba msanii wa bongo fleva Albert Mangwear amefariki dunia akiwa nchini South Afrika maeneo ya Prestoria.Kwa taarifa zaidi kuhusu sababu za kifo chake endelea kutembelea blog hii
0 comments :
Post a Comment