-->

ARSENAL WAMCHAPA FULHAM 1-0

The Big And Tall Club


Arsenal usiku wa leo wamefanikiwa kumchapa Fulham bao 1 kwa 0,mechi ilikuwa kali na ya kusisimua huku maamuzi ya refa ya kumpatia kadi nyejundu mchezji wa Fulham ilipelekea kunyong'onyea na kupoteza dira kwa kiasi fulani ndani ya uwanja .Arsenal alipata goli katika kipindi cha kwanza cha mchezo huo kupitia mchezaji wao aitwae Per Mertesacke.Katika mechi nyingine zilizozwa leo hii ni
Share on Google Plus

About Omari Makoo

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment